“Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA; Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake. Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia; moyo uwazayo mawazo mabaya; miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu; shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitna kati ya ndugu”
–Mithali 6:16-19
Filed under: INJILI, NENO
